Yanga kuwasili nchini mali

 Timu ya yanga jana tarehe 23 imewasili nchini mali hii ni baada ya kutua na ndege uko mjini Bumako  mji mkuu wa mali 🇲🇱 wakijiandaa na mechi jumapili ya tarehe 23 mwezi huu wa pili 2023 

Hivyo kama we ni shabiki.. kaa kwa kutulia ukisubilia iyo siku ifike


Je ni yapi maoni yako kuhusu mechi iyo yanga itatoboa ???leave a comments bellow

Msomi wetu

Tembelea bloggers yetu kwa ajili ya kupata habari mbalimbali za michezo burudani elimu nakadhalika

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post